The Grand Mufti's Office of Zanzibar

Dira, Dhamira na Lengo

Dira.

Kuwa Taasisi yenye nguvu inayoaminika yenye kuheshimika Kitaifa na Kimataifa katika kutoa na kusimamia Miongozo ya Kiislamu.

Dhamira

Kutoa Fat-wa, kuratibu na kusimamia mambo ya Kiislamu na kuimarisha misingi ya amani na utulivu Zanzibar

Lengo.

Lengo kuu la kuanzishwa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar ni kutoa Fatwa, Miongozo ya Kidini na kusimamia masuala yote ya Kiislamu kwa mujibu wa sheria ya Mufti namba 4 ya mwaka 2021.